Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSIBA WA KANUMBA WAWAPA FUNZO CLOUDS MEDIA GROUP

* UMATI WA WATU WALIOJITOKEZA NDIO CHANZO

* SASA WAAMUA KUWATUMIA BONGO MOVIE KWENYE MATAMASHA YAO YA MUZIKI NA KWENYE SHUGHULI ZA KIJAMII


Wasanii mahiri wa filamu hapa nchini nao walikuwepo kuliunga mkono tamasha la Fiesta usiku huu ndani ya Dodoma,kutoka kulia ni Jacob Steven a.k.a JB,Wema Sepetu pamoja Aunt Ezekiel.
Ray Kigosi akilicheza sebene jukwaani.
Ray akimtambulisha Wema Sepetu kwa mashabiki.
Wema Sepetu akinyonga viuono mbele ya mashabiki wa tamasha la Serengeti Fiesta uuwanja wa  mjini Jamhuri Dodoma
 
Aunt Ezekiel akimwaga mauno yake lanini mbele ya mashabiki

Mmoja wa wasimamizi wa kituo cha The Village of Hope,Father Vincent Boselli akitoa ufafanuzi mfupi wa mambo mbalimbali ya kituo hicho mbele ya Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini,Mh Lephy Gembe sambana na wasanii wa muziki wa bongofleva na wa Filamu
Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Diamond akijitambulisha mbele ya watoto na pia aliwaimbia baadhi ya nyimbo zake na kuwafanya watoto hao wafurahi zaidi,kwani walikuwa wakimuona tu kwenye luninga ama kuzisikia nyimbo zake kwenye redio.
Mmoja wa waigizaji mahiri katika tasnia ya Filamu hapa nchini,Aunt Ezekiel akiwasalimia watoto,kulia kwake ni msaani mkongwe wa bongoflea,Sir Juma Nature akifuatilia kwa umakini tukio hilo adhimu kabisa.
 Matukio yote hayo yameandaliwa na CLOUDS MEDIA GROUP
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana
Back To Top