Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWENGE WA UHURU WAMALIZA MBIO ZAKE MKOANI RUKWA NA KUELEKEA KATAVI

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Mtumwa Rutengwe akipokea Mwenge wa Uhuru kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya baada ya kumaliza mbio zake Mkoani Rukwa ambapo Jumla ya miradi 27 iliyogharimu zaidi ya bilioni 5 ilizinduliwa na kuwekwa mawe ya msingi katika Mkoa wa Rukwa.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top