Ali Mohamed Shein,akisalimiana na VIongozi mbali mbali,alipowasili
katika viwanja vya Ukumbi Misali Sunset Beach Hotel Wesha
Pemba,aliposhiriki katika Semina ya siku tatu kuhusu Uimarishaji
uhusiano baina ya Viongozi wa Kisiasa na Kiutendaji katika Serikali za
Mitaa,iliyoanza leo,.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akifungua Semina ya tatu
kuhusu Kuimarisha Uhusiano Baina ya Viongozi wa Kisiasa na Kiutendaji
katika Serikali za Mitaa Zanzibar,katika ukumbi wa Misali Sunset Beach
Hotel Wesha Pemba, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Ali Mohamed Shein,akiwa Mwenyekiti wa Semina ya Uimarishaji uhusiano
baina ya Viongoziwa kisiasa na Kiutendaji katika Serikali za
Mitaa,akiteta jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Dk.Abdulhamid Yahaya
Mzee,kabla ya kuifungua Semina hiyo katika Ukumbi wa Misali Sunset
Beach Hotel leo, Wesha Pemba. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Kamau,akiwasilisha salamu za Shirika hilo katika Semina ya siku tatu
ya Uimarishaji uhusiano baina ya Viongozi wa kisiasa na Kiutendaji
katika Serikali za Mitaa,iliyoanza leo katika ukumbi wa Misali sunset
Beach Hotel Wesha Pemba, [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, katika Ukumbi
Misali Sunset Beach Hotel Wesha Pemba.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Post a Comment