Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANZANIA LIVE MUSIC FESTIVAL KUUNGURUMA KESHO


Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival) linafanyika kesho katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam, likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali.
Bendi hizo ni Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu. Malkia wa mipasho, Khadija Kopa pia atakuwepo.
Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Waandishi wa Habari leo asubuhi, viwanja vya Leaders kuhusu tamasha hilo kesho. Wengine kulia kwake ni Charles Baba, kushoto wake, Jacqueline Wolper, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ na Tarcise Masela.

Timu ya Tamasha kesho


Timu

Jacqueline Wolper akizungumza na Chalz Baba, wote wakuwepo kesho 

Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Baba na Jacqueline Wolper


Tarcise Masela kushoto akizungumza na Waandishi. kulia King Kiki

Baby Lucas wa Msondo kushoto akizungumza na Waandishi. Kulia kwake ni Ally Jamwaka wa Msondo na Masela

Thabit Abdul wa Mashauzi Classic (kushoto) akizungumza na Waandishi

Banana Zahir Ally Zoro wa B. Band kulia akikzungumza. Kushoto ni Jacque Wolper

King Kiki akizungumza kwa hisia kali. Kushoto ni Masela.

Jamwaka kushoto na Masela kulia
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top