Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival)
linafanyika kesho katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam,
likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali.
Bendi hizo ni Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo
Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu. Malkia wa mipasho, Khadija
Kopa pia atakuwepo.
 |
Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music
Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Waandishi wa Habari leo asubuhi,
viwanja vya Leaders kuhusu tamasha hilo kesho. Wengine kulia kwake ni Charles
Baba, kushoto wake, Jacqueline Wolper, Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kiki’ na
Tarcise Masela.
|
 |
| Timu ya Tamasha kesho |
 |
| Timu |
 |
| Jacqueline Wolper akizungumza na Chalz Baba, wote wakuwepo kesho |
 |
Mkurugenzi wa Edge Entertainment, waandaaji wa Tanzania Live Music
Festival, Edwin John Ngeh akizungumza na Baba na Jacqueline Wolper
|
 |
| Tarcise Masela kushoto akizungumza na Waandishi. kulia King Kiki |
 |
| Baby Lucas wa Msondo kushoto akizungumza na Waandishi. Kulia kwake ni Ally Jamwaka wa Msondo na Masela |
 |
| Thabit Abdul wa Mashauzi Classic (kushoto) akizungumza na Waandishi |
 |
| Banana Zahir Ally Zoro wa B. Band kulia akikzungumza. Kushoto ni Jacque Wolper |
 |
| King Kiki akizungumza kwa hisia kali. Kushoto ni Masela. |
 |
| Jamwaka kushoto na Masela kulia |
on Thursday, September 27, 2012
Post a Comment