Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAKATI WANANCHI NA WAANDISHI WA HABARI WAKIMKATAA, WAZIRI DK. EMMANUEL NCHIMBI AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI MKOANI IRINGA LEO

Waziri wa mambo ya ndani Mh. Emmanuel Nchimbi akisalimiana na mwenyekiti wa baraza la usalama barabarani mkoani Iringa mara baada ya kuwasili katika uzinduzi huo kwenye uwanja wa Samora.

Waziri wa mambo ya ndani Dk Emmanuel Nchimbi akitoa hotuba yake wakati wa wa uzinduzi wa wiki ya Nenda kwa usalama barabarani iliyozinduliwa leo mkoani Iringa katika Uwanja wa Samora mjini Iringa huku viongozi mbalimbali wa Baraza la Taifa la Usalama Barabarani na mabaraza mbalimbali kutoka mikoani wakihudhuria katika muzinduzi huo.
Naibu Waziri wa mambo ya ndani na Mwenyekiti wa Baraza la Usalama barabarani Taifa Mh. Sirima Pereira akisoma hotuba yake wakati wa uzinduzi wa wiki ya Usalama barabarani mkoani Iringa leo
 Waziri wa mambo ya ndani Mh. Dk Emmanuel Nchimbi akimsikiliza mkuu wa mkoa wa Iringa Dk Cheristine Ishengoma, wakati akiwasilisha salama za mkoa wa Iringa katika maadhimishi ya wiki ya Nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika kwenye uwanja wa Samora mjini Iringa.
Brasi Bendi yailiyoongoza maandamano hayo.
 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana