Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

ZOEZI LA BOMOABOMOA LAFANYIKA SINZA MORI


 Greda la Manispaa ya Kinondoni likiwa eneo la tukio tayari kuanza kazi.
Wakazi waliokumbwa na bomoabomoa hiyo wakihamisha vitu visiharibiwe na greda.
 Askari mgambo wa Manispaa wakiangalia kwa makini ubomoaji wa nyumba hizo.
 Mmoja wa mgambo waliokuwa katika zoezi hilo la ubomoaji, akisaidia kutoa vyombo.
 
*****************
 
ILE sera ya mipango miji katika Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam, imepamba moto baada ya wakazi wa Sinza Mori na Bamaga kubomolewa nyumba zao kufuatia kujenga sehemu zilizotengwa kwa ajili ya barabara.endelea kupitia audiface jackson blogspot kupata habari zaidi.Zoezi hilo lililoacha simanzi, majonzi na vilio kwa wakazi hao, limefanyika leo na kushuhudiwa na kamera yetu.Picha Kwa Hisani Ya Audifance Jackson Blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top