Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAKE ZA MARAIS WANAPOKUTANA PAMOJA, HUWA NI FURAHA TUPU


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na Mke wa Rais Mstaafu wa Marekani Mama Laura Bush wakati wa kikao cha 'The Rand African First Ladies Initiative' kilichofanyika New York nchini Marekani tarehe 26.9.2012. The Rand African First Ladies Initiative ni washirika wa maendeleo wa wake wa marais na wakuu wa nchi za Afrika wanaoshughulikia kuleta mabadiliko ya afya na elimu kwa mamilioni ya wanawake na watoto  barani humo.Picha na John Lukuwi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top