Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

BIRTDAY PARTY YA DADA YAKE DIAMOND ILIVYOFANA

Yani hii cake ningekuwa nimeiona popote pale ningejua tuuu mwandishi wa hayo maneno ni Wema Sepetu
maana hiyo "daddy ake" ni official Wema Sepetu slogan...uwiiiiii slogan....


Birthday boy akiingia kwenye party yake @ D'MAGE HOTEL KINONDONI....


Alifika tu akatumbukia kwenye swimming pool kwanza....
Kijana body Mashallah!!! lol...



Wema akasogea pembeni tayari kwa kumwimbia Daddy ake...


Akamlisha cake daddy ake kihivyooooo...

Wema akilishana cake na dadake Diamond.....
Baada ya hapo Wema ndo aliwalisha cake wageni kwa niaba ya Daddy ake ambae
alikuwa ana swim.....lol...
kidume cha mbegu Ommy Dimpoz, muzee Dimples hizoooooooo....hahahha
akiwa na Mbonie wa the Mbonie show na Meckisha wa UK....

Unaambiwa kulikuwa na totoz za kutosha ndani ya swimming pool....

Wema (in her sweet babyish voice): "Daddy yake umesha swim vya kutosha toka basi kwenye maji uje ku enjoy na wageni
Diamond: "Sawa baby nakuja, alafu baby we mzuri yani siamini umenirudia, vituko vyote vile nilivyokufanyia and you came back to me? yani Wema wako sitokuja kuusahau
yani wazazi wako walikupa jina linalokufaa sana baby wangu"
Wema: "Yamepita Naseeb wangu, najua wote wanakutamani ila sikuachiiii Naseeb haki ya nani, hata Dada Mange akiniambia you dont deserve me sikuachi ng'oooo"
Diamond: Fuck that bitch!!!

LOL...

Sihaba Naseeb nae akamsikiliza baby wake akatoka kwenye maji akala bata na wageni....
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top