Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SPIKA MAKINDA ASHIRIKI MDAHALO MAALUM WA MASWALA YA KIJINSIA



Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akisisitiza jambo aliposhiriki Mdahalo maalumu ulioandaliwa na Chama Cha Mabunge Duniani (IPU), Mjini Quebec, Canada, kuzungumzia Mabunge yenye Mwitikio wa kuzingatia Maswala ya Jinsia ikiwa ni sehemu ya kuongeza idadi ya wanawake Bungeni. IPU walimchagua Mhe. Makinda kubadilishana na wabunge wengine uzoefu wa Tanzania ikizingatiwa kuwa Tanzania ni moja kati ya Nchi chache zenye kuzingatia uwiano wa Wabunge wanawake Bungeni Kikatiba. Kulia ni Mwenyekiti wa Sanate katika Bunge Ireland Mhe. Paddy Burke na Katikati ni mwongozaji wa Mdahalo huo Bi. Jemini Pandya ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mawasiliano wa IPU.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top