Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAREMBO WAKIWA KWENYE KAMBI YA MISS TANZANIA


 Warembo wanaoshiriki shindano la Redds Miss Tanzania 2012 wakiwa katika picha yao ya pamoja mapema leo  Oktoba 4, 2012 katika Kambi yao iliyopo Hoteli ya Kitalii ya Giraffe Ocean View iliyopo Mbezi Beach  nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Warembo hao ambao watapanda jukwaani Novemba 3 kuwania taji la Miss Tanzania 2012 wanataraji kufanya ziara ya kuhamasisha Utalii wa ndani kwa Kutembelea Vivutio kadhaa vya Utalii katika Mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya Moshi, Arusha na Manyara Jumamosi  hii.
Warembo wakiwa katika pozi mbalimbali. Warembo hao ambao watapanda jukwaani Novemba 3 kuwania taji la Miss Tanzania 2012 wanataraji kufanya ziara ya kuhamasisha Utalii wa ndani kwa Kutembelea Vivutio kadhaa vya Utalii katika Mikoa ya Kanda ya Kaskazini ya Moshi, Arusha na Manyara Jumamosi  hii.

 
Washiriki hao wanaendelea vyema na kambi yao ya maandalizi chini ya Mwalimu Irine Karugama mshiriki wa shindano la Miss Tanzania 2011. Mpenzi wa Sanaa ya Urembo nchini Tanzania na Duniani Karibu Pia katika Ukurasa wa REDDS MISS TANZANIA 2012 katika FACEBOOK kwa LIKE yako tu katika Ukurasa huo BOFYA  http://www.facebook.com/ReddsMissTanzania2012  
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top