Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI CHIKAWE AANGUKIA PUA, U-NEC, DC MNALI APETA UENYEKITI WA WILAYA

Operesheni safisha CCM yaendelea baada ya  vigogo wengi  kutupwa nje panga  hilo lamkuta Waziri wa Sheria na Katiba Mathias Chikawe (pichani)ambaye pia amegaragazwa  vibaya nafasi ya NEC CCM wilaya ya Nachingwea  pamoja na  Mwenyekiti 

 Mwandishi  wetu Abdulaziz Video anaripoti  kuwa ,Hata  hivyo .MNEC alieshinda Fadhil azimia na kukimbizwa hospital kwa matibabu baada ya  kutoamini kilichotokea kwa kumshinda  waziri  huyo.

Mbali na Fadhil kushinda  pia  Mzee wa viboko,Mkuu wa wilaya Mstaafu Bw Mnali akishinda kiti cha Uenyekiti wa wilaya

Matokeo ya uchaguzi huo ni kama hivi  NEC alipata  kura 749 na Chikawe kura 503 huku Mnali
akipata kura 948 na Ndg Kamlo mwenyekiti alieangushwa akiambulia kura
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top