 |
| Rais Jakaya
Mrisho Kikwete, Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (wa
pili mbele kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini Canada Mhe Alex
Massinda (mbele kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa
makampuni ya Canada baada ya mazungumzo katika jengo la Rideau Hall
jijini Ottawa |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa Canada Mhe
Stephen Harper wakishudia uwekaji sahihi mkataba wa ushirikiano kati ya
Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania Mhe.
Bernard Membe na Waziri wa Canada katika Bunge la seneti la nchi hiyo
Alhamisi Oktoba 4, 2012(picha na Ikulu)
on Friday, October 5, 2012
Post a Comment