Rais Felipe Calderon wa
Mexico ametuma mswada katika bunge la Congress akitaka kubadilishwa kwa jina
rasmi la nchi hiyo.
Jila la sasa la ‘United
States of Mexico’ liliasiliwa mwaka 1824 na lilikuwa na lengo la kuiga majirani
zao wa kaskazini.
Rais Calderon anataka
libadilishwe na kuwa ‘Mexico’ kama linavyo fahamika duniani
kote.
Calderon anayeondoka
madarakani Disemba Mosi mwaka huu, amesema Mexico haihitaji tena kuiga nguvu
yeyote ya kigeni.
Post a Comment