Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SEKRETARIETI MPYA YAFUNIKA ARUSHA NA KUZOA WANACHAMA VIJANA WA CHADEMA WAKAJIUNGA CCM



 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu,
Edward Lowassa, kwenye Uwanja wa Ndege wa Arusha.
Kushoto ni Katibu wa CCM Mkoa wa Arusha, Mary Chatanda.
Pikipiki zikiongoza msafara wa Kinana, kutoka Uwanja wa
Ndege wa Arusha
Kinana akipandisha bendera ya CCM, kuashiaria ufunguzi Shina
la Wakereketwa Wajasiriamali wa CCM, Nguruma, Arumeru, Arusha.
Ngoma wa Kimasai, ilikuwa ni moja ya burudani zilizopamba
mkutano wa Meru, Arusha
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Kinana akisalimia wananchi baada ya kuwasili Viwanja vya Usa River
kuhutubia mkutano wa hadhara.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa kulia, akiteta jambo na Katibu Mwenezi wa
CCM, Nape Nnauye katika mkutano uliohutubiwa na
Abdulrahman Kinana.

Baadhi ya vijana 150 wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) waliohamia CCM wakionyesha kadi
zao za zamani wakiwa Chadema, wakati wa mkutano wa Usa River.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Wazee wa Kimeru, wakimkabidhi vitendea kazi vya jadi, Katibu Mkuu wa
CCM, Kinana katika mkutano uliofanyika Usa River, Arusha.
Anayemkabidhi ni Ezrom Sumari.



 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Kinana akivishwa mavazi ya jadi ya Wameru, wakati wa mkutano uliofanyika
Usa River, Arusha.
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
 
Kinana akiwa na zana za jadi alizokabidhiwa kwa heshima yake na wazee wa Kimeru, katika
Mkutano wa CCM uliofanyika Usa River, Arusha
 

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wananchi katika mkutano wa hadhara unaofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha (Picha na Bashir Nkoromo)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top