Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

SERENGETI YAMWAGA MKWANJA



KAMATI ya kuisaidia timu ya kuisaidia timu ya vijana wenye umri chini ya miaka 17 ‘Serengeti Boys’ imeimwagia timu hiyo mil.sita kama motisha kutokana na kuwafunga vija wenzao wa Congo Brazaville jumapili iliyopita
Timu hizo zilikutna kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam katika mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa vijana wenye umri huo ambapo Serengeti ilishinda bao 1-0.
Mmakamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Kassim Dewji (pichani)alisema kwamba wameamua kutoa kiasi hicho cha fedha ili kuwapa hamasa wachezaji wa timu hiyo kujituma zaidi katika mchezo wao wa marudiano ili waweze kushinda na hatimaye kusonga mbele.
“Tunawapongeza wachezaji wetu kwa kujituma katika mchezo na vijana wenzao wa Congo Brazaville, hivyo hatuna budi kuwapa fedha hizi kama motisha ya kuwaweezesha kujiandaa vema na mchezo wao wa marudio,”alisema.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top