Rais Jakaya Kikwete
kisikiliza matokeo ya uchaguzi yaliyokuwa yakitangazwa na Mhe. Anna Makinda
Wajumbe wakiserebuka baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangazwa kuwa mshindi wa Uenyekiti wa CCM, Taifa.
Wajumbe wakiserebuka baada ya Rais Jakaya Kikwete kutangazwa kuwa mshindi wa Uenyekiti wa CCM, Taifa.
Kikwete, akipongezwa na
baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu.
Mwenyekiti wa CCM, Rais
Jakaya Kikwete akipongezwa na aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi wa Mwenyekiti wa
CCM Taifa na Makamu wenyeviti wawili, Spika wa Bunge Anna Makinda, baada ya
kumtangaza kushinda nafasi hiyo ya Uenyekiti, katika uchaguzi uliofanyika hivi
punde katika ukumbi wa Kizota, Dodoma, ikiwa ni kuhitimisha shughuli za Mkutano
Mkuu wa Nane wa CCM. Wapili Kulia ni Makamu Mwenyekiti Mpya wa CCM (Zanzibar)
Dk. Ali Mohamed Shein na Makamu wa Rais Dk. Moahamed Gharib Bilal
Mwenyekiti mpya kwa mara
nyingine wa CCM Taifa, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho
Kikwete, akipongezwa na Rais Mstaafu wa awamu ya tatu, Benjamin Mkapa, mara
baada ya kutangazwa kuibuka kidedea kwa kura za asilimia 100 katika uchaguzi,
uliomalizika hivi punde katika Ukumbi wa Kizota, mjini
Dodoma.
Mwenyekiti mpya kwa mara
nyingine wa CCM Taifa, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho
Kikwete, akipongezwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Taifa wa Zanzibar, Aman
Karume, mara baada ya kutangazwa kuibuka kidedea kwa kura za asilimia 100 katika
uchaguzi, uliomalizika hivi punde katika Ukumbi wa Kizota, mjini
Dodoma.
Mwenyekiti mpya wa CCM
Taifa kwa mara nyingine, Jakaya Mrisho Kikwete, akifurahia na kucheza kwa furaha
baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi huo na yeye kuibuka kidedea kwa kura za
asilimia 100.
Waziri Mkuu Mstaafu, Edward
Lowasa, akipita kumpongeza Mwenyekiti Mpya wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete, baada
ya kutangazwa matokeo hayo leo katika Ukumbi wa Kizota, mjini
Dodoma.
Mwenyekiti mpya
kwa mara nyingine wa CCM Taifa, na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Jakaya Mrisho Kikwete, akipongezwa na mkewe Mama Salma Kikwete, mara baada ya
kutangazwa kuibuka kidedea katika uchaguzi, uliomalizika hivi punde katika
Ukumbi wa Kizota, mjini Dodoma. Wengine waliotangazwa katika kinyang'anyiro
hicho ni pamoja na Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Phillip Mangula, Makamu
Mwenyekiti, Zanzibar na Dkt. Ali Mohamed Shein.











Post a Comment