Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WASHINDI WA SHINDANO LA (DSTV EUTELSAT STAR) WAPATIKANA

 


Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Teknolojia Mh.January Makamba akitoa hotuba wakati wa hafla ya utoaji tuzo kwa wanafunzi walioshinda shindano la kuandika Insha na Uchoraji Sayansi (Dstv Eutelsat Star Awards) washindi wane kutoka shule za sekondari walishinda baada ya kufanyika mchuano mkali ambao ulishirikisha zaidi ya wanafunzi 1000 katika shule mbalimbali za Afrika nzima,shindano hilo la tuzo liliandaliwa na MultiChoice kwa kushirikiana na Eutelsat Communications.hafla hiyo ilifanyika kwenye Hotel ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam.
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multchoice ,Bi.Barbara Kambogi(kulia)katibu Mhutasi Multichoice(kushoto)Revina Bandihai.wakifuatilia kwa umakini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Naibu waziri wa Mawasiliano , Sayansi na Teknolojia Mh.January Makamba wakati akitoa hotuba katika hafla ya kuwapongeza washindi wa Dstv Eutelsat Star Awards.
Majaji wa shindano hilo wakiwa kwenye picha ya pamoja katika hafla hiyo.
Meneja masoko wa Multchoice Furaha Samalu(kushoto)na Meneja masoko wa kampuni ya simu Zantel Awaichi Mawalla.wakiwa katika hafla hiyo.
Naibu waziri wa Wizara ya Mawasiliano , Sayansi na Teknolojia Mh.January Makamba (watatu kushoto nyuma) Meneja Mkuu wa Multichoice Tanzania Bw. Peter Fauel(wakwanza kulia nyuma)wakiwa kwenye picha ya pamoja na vingozi wengine,mbele kulia ni wanafunzi walioshinda tuzo ya Dstv Eutelsat Star.
Meneja Uhusiano wa kampuni ya Multchoice, Barbara Kambogi akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa sherehe hiyo.PICHA NA PHILEMON SOLOMON
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top