Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Kgalema Motlanthe kumenyana na Jacob Zuma

 

Kgalema Motlanthe (Kushoto) na rais Jacob Zuma
                                                 ************
Msemaji wa makamu wa rais wa Afrika kusini Kgalema Motlanthe amesema amekubali uteuzi wake kugombea uongozi wa chama tawala nchini humo cha African National Congress.
Msemaji huyo Thabo Masebe amesema bwana Montlanthe atagombea kiti cha urais cha ANC, makamu wa rais na nyadhifa nyingine .
Atawania kiti hicho wiki ijayo ambapo atakabiliana na rais wa sasa wa Afrika kusini Jacob Zuma katika mkutano wa chama utakaofanyika Bloemfontein.
Waandishi wa habari wanasema yeyote atakayekuwa kiongozi wa ANC atakuwa na nafasi nzuri ya kuwa rais ajae katika baada ya uchaguzi wa mwaka 2014

Chanzo: BBC Swahili
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top