Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF,Maalim Seif Sharif Hamad Ashiriki Maziko Ya Mazishi ya Mama Mzazi wa Mwakilishi wa Mji Mkongwe Ismail Jussa



Waislamu mbali mbali wakiushindikiza mwili wa Marehemu Bi. Zaynab Suleiman (Mama yake Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu) katika makaburi ya Mwanakwerekwe.
Baadhi ya wanafamilia wakiongozwa na Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu, wakisubiri mwili wa mama yao marehemu Bi Zaynab Suleiman kwa ajili ya kumzika katika makaburi ya Mwanakwerekwe. Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa CUT Taifa Prof. Ibrahim Lipumba.
Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu, akichota mchanga kuweka katika kaburi la mama yake marehemu Bi. Zaynab Suleiman baada ya kumzika katika makaburi ya Mwanakwerekwe. Mazishi hayo yamehudhuriwa na viongozi mbali mbali wakiwemo Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad na Mwenyekiti wa CUT Taifa Prof. Ibrahim Lipumba.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad akisalimiana na baadhi ya waislamu waliohudhuria mazishi ya mama yake Mwakilishi wa Mji Mkongwe Ismali Jussa Ladhu marehemu Bi. Zaynab Suleiman katika makaburi ya Mwanakwerekwe Zanzibar.Picha na Salmin Said-Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top