Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AMUAGA RAIS WA MADAGASCAR, ANDRY RAJOELIN BAADA YA ZIARA YAKE YA SIKU MBILI NCHINI

 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na Rais wa Madagacar, Andry Rajoelina, wakati amkisindikiza kuelekea Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam alipokuwa akiondoka nchini leo Desemba 15, 2012 kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara ya siku mbili hapa nchini. Kulia ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Picha na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, (kulia) akiagana na Rais wa Madagacar, Andry Rajoelina, wakati alipokuwa akimsindikiza kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, jijini Dar es Salaam, leo Desemba 15, 2012 kurejea nchini kwake baada ya kumaliza ziara ya siku mbili hapa nchini. Picha na OMR

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top