Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MIENO AKABIDHIWA JEZI YA REDONDO AZAM




Katibu wa Azam, Nassor Idrisa (kulia) akimkabidhi jezi ya klabu hiyo, kiungo wao mpya, Humphrey Mieno waliyemsajili kutoka Sofapaka ya Kenya. Mieno ameungana na kikosi cha Azam mjini hapa Kinshasa, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ambako timu hiyo imekuja kucheza Kombe la Hisani. Mieno alikuwepo kwenye kikosi cha Kenya, Harambee Stars kilichofika fainali ya Kombe la CECAFA Tusker Challenge wiki iliyopita na kufungwa 2-1 na wenyeji Uganda, The Cranes. Amepewa jezi namba 30, ambayo iliwahi kuvaliwa na Ramadhan Chombo ‘Redondo’ aliyehamia SImba SC.
chanzo: Bin Zubeiry
 

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top