Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Robin Goetzsche (wa pili kushoto) na
Redd's Miss Tanzania 2012,Brigiter Alfred (katikati) wakiwa katika picha ya
pamoja na Wakurugenzi wengine wa Kampuni hiyo,wakati Mrembo huyo alipofika
kukutana na kuzingumza mambo mbali mbali na Viongozi hao.
Redd's Miss
Tanzania 2012,Brigter Alfred (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi
wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL),Kushila Thomas wakati mrembo huyo
alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha TBL na kukutana kwa mazungumzo na
Wakurugenzi wote wa Kampuni hiyo,Jijini Dar es Salaam hivi
karibuni.
Redd's Miss
Tanzania 2012,Brigter Alfred (kulia) akipeana mkono na Mkurugenzi Mkuu wa
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) Robin Goetzsche wakati mrembo huyo alipofanya
ziara ya kutembelea kiwanda cha TBL na kukutana kwa mazungumzo na Wakurugenzi
wote wa Kampuni hiyo,Jijini Dar es Salaam hivi karibuni.
Post a Comment