Wananchi wa
Mwanza wakiipokea treni ya Shirika la Reli Tanzania(TRL), kwa ujumbe wa Mabango
wakatii treni hiyo ilipowasili Mkoani Hap oleo mchana. Treni hiyo ilisitisha
huduma zake tangu Mwaka 2009, Imeanza safari zake rasmi kwa mabehewa Sita,
likiwemo moja la daraja la Kwanza. Treni hiyo itakuwa ikifanya safari zake Mara
mbili kwa Wiki.
Baadhi ya
Abiria wa wanaotumia usafiri wa Treni ya Shirika la reli Tanzania (TRL),
waliotokea jijini Dar es Salaam ijumaa kuelekea Mkoani Mwanza wakiwa ndani ya
behewa la Daraja la Tatu kama walivyokutwa leo asubuhi .Treni hiyo imeanza
safari zake kutokea Dar kwenda Mwanza.
Naibu
Waziri wa Uchukuzi, Dkt. Charles Tizeba(mwenye suti Nyeusi),akiwa ndani ya
Mabehewa ya Treni ya Shirika la Reli Tanzania(TRL)leo Asubuhi wakati alipoipokea
treni hiyo iliyokuwa ikitokea jijini Dar es Slaam.Treni hiyo ya kwenda Mwanza
imeanza rasmi Ijumaa kutokea Dar kwenda Mwanza baada ya kusitisha huduma zake
tangu mwaka 2009.
Wananchi wa
Mkoani Mwanza wakipunga mkono kuashiria furaha yao kwa kuanza kwa Safari za
Treni ya Shirika la Reli Tanzania (TRL).Treni hiyo imeanza safari zake ijumaa
kwa kutokea Dar es Salaam kuja Mwanza.
Baadhi ya
Abiria wanaotumia usafiri wa Treni ya Shirika La Reli Tanzania(TRL),wakishuka
katika Stesheni ya Mwanza Leo Mchana kutokea dare s Salaam.treni ilisitisha
safari zake kwenda Mwanza mwaka 2009 na Ijumaa ilianza safari kutokea Dar kwenda
Mwanza.
Naibu
Waziri wa Uchukuzi, Dkt Charles Tizeba, akisisitiza wafanya biashara waliojenga
vibanda na kufanyia biashara karibu na Miundombinu ya Reli katika eneo la
stesheni ya Reli Mwanza mpaka Maeneo ya Mamlaka ya Bandari(TPA),kuhama katika
maeneo hayo kama Sheria ya Reli inavyoelekeza.Picha Kwa hisani ya Michuzi
Blog
1 comments:
ndugu kama huwezi kazi bora uache maana mnawaharibia wenzenu unakopi hadi mwandiko duuuu we noma
ReplyPost a Comment