Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

NGASSA KUUZWA SUDAN AZAM SIMBA WAMALIZANA DAU LAPANDA KUGAWANA MSHIKO



Baada msuguano wa takribani wiki mbili kuhusu nani hasa anastahili hasa kuchukua fedha za usajili wa mchezaji Mrisho Ngassa kati ya vilabu vya Simba na Azam, hatimaye leo hii umepatikana muafaka.

Viongozi wa pande mbili za vilabu hivyo wamekutana na kukubaliana kwamba watamuuza mchezaji Mrisho Ngassa kwenda klabu ya El Merreikh kwa ada ya usajili ya $100,000 na fedha hizo zitagawanywa kwa Simba na Azam FC.

Kwa upande wa mchezaji mwenye Mrisho Ngassa atapokea kiasi cha $75,000 kama gharama ya usajili kwa mkataba wa miaka miwili, na pia atalipwa kiasi cha $4000 kama mshahara kwa kila mwezi.

Simba na Azam zilikuwa zikigombana kuhusu nani hasa alikuwa mmiliki halali wa mchezaji huyu.

Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top