Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Washindi 74 wapatikana kwenye droo ya Pili ya ki-COLLEGE zaidi na NMB

 


Mwanafunzi wa chuo Kikuu cha Mzumbe- Morogoro, Beatrice Chande akibonyeza kitufe kuwapata washindi wa promosheni ya Ki-College zaidi na NMB. Kutoka (kushoto) ni Meneja Masoko wa NMB, Shilla Senkoro na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha ya Taifa, Abdallah Hemedy, Meneja huduma kwa wateja wa NMB tawi la Mwenge, Elizabeth Highness na Afisa bidhaa wa selcom, Everline Simpilu.

Pamoja na kampeni hii, wanafunzi watakaofungua NMB Student Account wataendelea kufurahia huduma za NMB Student Account kama: Kufungua akaunti kwa Sh. 10,000 tu (pamoja na NMB ATM kadi), kujiunga na huduma ya NMB mobile bure kupata huduma ya ujumbe mfupi kila utoapo fedha kwenye ATM ya NMB bure, kuchukua fedha hadi Sh.1,000,000 kwenye NMB ATM kwa siku na kupata huduma kupitia matawi zaidi ya 143 na NMB ATM zaidi ya 450 nchi nzima.
Ili uweze kuingia kwenye droo na kupata nafasi ya kujishindia zawadi kwenye promosheni ya Ki COLLEGE zaidi na NMB, fungua NMB Student Account, weka amana katika akaunti yako, tumia au jiunge na NMB mobile .Ikiwa hujatumia akaunti yako kawa muda mrefu tembelea tawi la NMB ili nawe ushiriki katika promosheni hii ya ki-COLLEGE zaidi na NMB inayoendelea hadi Desemba 31, 2012.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top