Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AMJULIA HALI BABA YAKE ALIELAZWA HOSPITALI YA MUHIMBILI

 

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akimjulia hali Baba yake mzazi Mzee Savere Kayanza Pinda ambaye amelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili kitengo cha Moi kwa matibabu ya Maradhi yanayomsumbua.Mzee Pinda yupo hospitalini hapo baada ya kufanyiwa upasuaji kutokana na tatizo la nyonga.kulia kwa waaziri mkuu ni Muuguzi mkuu wa zamu wodi hiyo Edna Mhina na kushoto kwa waziri mkuu ni Donatila Kwelukila ambaye ni afisa muuguzi chumba cha wagonjwa mahututi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top