Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

CAG NA KAHAMA WATOA MAONI


 

kahama-utouh e05e4
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Bw. Ludovick Utouh (kushoto) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba katika ukumbi wa mikutano wa Tume hiyo jijini Dar es Salaam (Jumamosi, Januari 19, 2013). Bw. Utouh alikutana na Wajumbe wa Tume hiyo kutoa maoni ya taasisi yake kuhusu Katiba Mpya.

kahama f1fb7
Waziri Mstaafu na Mwanasiaisa Mkongwe nchini, Mzee. George Kahama (kushoto) akizungumza katika mkutano na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba leo katika ofisi za Tume Jijini Dar es Salaam (jumamosi, januari 19, 2013) na kutoa maoni yake kuhusu Katiba Mpya. Katikati ni Mwenyekiti wa Tume, Jaji Joseph Warioba na Makamu Mwenyekiti, Jaji mkuu mstaafu Augustino Ramadhani.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top