 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya 
Maendeleo Omar Yussuf Mzee (kulia)akibadilishana mawazo na Muakilishi wa Jimbo 
la Magomeni Salmin Awadh Salmin nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi huko 
Mbweni Nje ya Mji wa Zanzibar.Baraza la Nane la Wawakilishi limeanza rasmi leo 
ikiwa ni Kikao cha kwanza 16 January 2013,Zanzibar.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya 
Maendeleo Omar Yussuf Mzee (kulia)akibadilishana mawazo na Muakilishi wa Jimbo 
la Magomeni Salmin Awadh Salmin nje ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi huko 
Mbweni Nje ya Mji wa Zanzibar.Baraza la Nane la Wawakilishi limeanza rasmi leo 
ikiwa ni Kikao cha kwanza 16 January 2013,Zanzibar.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya 
Maendeleo Omar Yussuf Mzee (katikati)akisisitiza jambo katika mazungumzo na 
Muakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jusa Ladhu nje ya Ukumbi wa Baraza la 
Wawaklilishi huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar wamwanzo kushoto ni Muakilishi 
wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha Uchumi na Mipango ya 
Maendeleo Omar Yussuf Mzee (katikati)akisisitiza jambo katika mazungumzo na 
Muakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jusa Ladhu nje ya Ukumbi wa Baraza la 
Wawaklilishi huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar wamwanzo kushoto ni Muakilishi 
wa Jimbo la Magomeni Salmin Awadh Salmin. 
 
 
 
  on Wednesday, January 16, 2013
 
Post a Comment