Waziri 
wa Habari, Vijana, 
Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara akiwakagua wachezaji wa timu ya 
Mikocheni Warriors na 
wachezaji wa timu ya Kawe 
Kombaini wakati wa ufunguzi wa michuano ya Kombe la Meya, Manispaa ya Kinondoni, 
Dar es 
Salaam mwishoni mwa wiki. Kulia ni Meya 
wa Manispaa hiyo, 
Yusuph 
Mwenda. 
Meya 
wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kushoto) akimwongoza Waziri 
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, 
Dk Fenella Mukangara 
(katikati), Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Fortunatus 
Fwema na viongozi wengine mara baada ya ukaguzi wa 
timu 
Meya 
wa Manispaa ya Kinondoni, 
Yusuph Mwenda akizungumza na vyombo vya habari wakati wa ufunguzi wa michuano 
hiyo 
Waziri 
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella Mukangara (kulia) 
akibadilishana mawazo na Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda wakati wa 
ufunguzi wa michuano ya kombe la Meya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam 
mwishoni mwa wiki 
Mshambuliaji 
wa Kawe Kombaini, Hassan Ngonyani (kulia) 
akitafuta 
mbinu za kumtoka beki Ally Ramadhan 
wa Mikocheni Warriors wakati wa mechi ya ufunguzi ya 
Kombe 
la Meya Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kawe 
walishinda kwa 
magoli 3-1.   
Golikipa 
wa Kawe Kombaini Simon Adamu akiudaka mpira huku wachezaji wa timu ya Mikochezni 
Warriors wakijiandaa kupiga 
goli. Kawe ilishinda magoli 3-1. 
Waziri 
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella 
Mukangara akihutubia wakati 
wa ufunguzi wa michuano hiyo. Kulia kwake ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni, 
Yusuph Mwenda, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordna Rugimbana (kuhoto kwake) na 
Naibu Meya wa Manispaa hiyo, Songoro Mnyonge 
(kushoto).  
Waziri 
wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk Fenella 
Mukangara akikagua timu  wakati 
wa ufunguzi wa michuano hiyo. kushoto kwake ni Meya wa Manispaa ya Kinondoni, 
Yusuph Mwenda. source full shangwe 
 
 
 
  on Sunday, January 20, 2013
 
Post a Comment