Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MWANAMUZIKI OMAR OMAR AZIKWA KATIKA MAZINGIRA YA VURUGU


 

Baadhi ya wasanii wakibadilishana mawazo kabla ya mazishi.

Waombolezaji akina mama.

Dully Syaks (katikati) akiwa na mapacha Sunche na Kapeto.

Baadhi ya wanamuziki wa kizazi kipya.

Mlevi nmmoja akicheza mbele ya waombolezaji.

Mwili wa marehemu ukisaliwa nyumbani kabla ya kupelekwa makaburini.

Umati ukiwa tayari kwenda makaburini.

Vurugu zikiendelea wakati wa kwenda kuzika.

Vijana waliosababisha vurugu wakisukumana.
--------------------------------
MWANAMUZIKI mkongwe wa miondoko ya mnanda, Omar Omar Mfungilo, ambaye alifariki usiku wa kuamkia jana ( Jumatatu) nyumbani kwao Temeke-Mkoroshini amezikwa leo katika makaburi ya karibu na nyumbani kwao.

Mazishi hayo ambayo yalihudhuriwa na watu wengi, yalitawaliwa na vurugu ambazo zilisababisha baadhi ya waombolezaji kuporwa vitu vyao kama simu, pesa, saa na vitu vingine.


Wakati wa kwenda kumzika, vijana waliojiita ‘kikosi kazi cha mazishi’ waling’ang’ania jeneza lililobeba mwili wa marehemu na kulipeleka wao makaburini huku baadhi yao wakifanya vitendo vya uporaji njiani wakati wa kwenda kumzika.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top