Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TANZANIA NA CHINA WASAINI MIKATABA MBELE YA MARAIS WAO WAKISHUHUDIA


Rais wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete na Rais wa China, Xi Jinping, wakiwashuhudia mawaziri wa Tanzania, Bernald Membe wa China, wakitiliana saini mkataba, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, juzi usiku.


Mawaziri wa China na wawakilishi wa China wakisubiri kutiliana saini na Mawaziri wa Tanzania.


Rais wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete na Rais wa China, Xi Jinping, wakiwashuhudia mawaziri wa Tanzania, Prof. William Mgimwa na wa China, wakitiliana saini mkataba, wakati wa hafla hiyo iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, juzi usiku.


Rais Jakaya Kikwete na mkewe, Rais wa China na mkewe, wakiwa katika picha ya pamoja na mtoto wa rais Jakaya, Ridhwan Kikwete, baada ya hafla ya chakula cha usiku iliyofanyika Ikulu juzi usiku.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top