Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

TUME YA KUREKEBISHA SHERIA TANZANIA YAANZA KUWASILISHA TAARIFA YAKE JUU YA UTATUZI WA MIGOGORO YA ARDHI TANZANIA JIJINI DAR ES SALAAM


moja
 
Katibu Mtendaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bi. Winfrida B. Korosso akizungumza kabla ya kuanza kwa mkutano wa wadau kuhusiana na Taarifa ya Tume yake juu ya Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania. nane
 
Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Mh. Jaji Aloysius Mujulizi akifungua mkutano wa wadau wa sheria ya ardhi uliofanyika jijini Dar es Salaam. nne
 
Kamishna wa Tume ya Kurekebisha Sheria Bw. Albert Msangi akiwasilisha taarifa ya Utafiti juu ya Mfumo wa Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania. saba
 
Baadhi ya wadau wa sheria ya ardhi wakiwa katika mkutano.
sita
 
Washiriki wa mkutano wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa ya Tume juu ya Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania. tatu
 
Kamishna wa Tume Mh. Jaji Mstaafu Ernest Mwipopo akiwasilisha Mapendekezo ya Mfumo Mpya wa Utatuzi wa Migogoro ya Ardhi Tanzania. wakifuatilia
 
Wadau wa sheria wakimsikiliza Mwenyekiti wa Tume Mh. Jaji Mujulizi wakati wa mkutano wa wadau wa sheria ya Ardhi.
kusikiliza
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top