Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HAYA NDIO MATUSI AMBAYO WAHESHIMIWA WABUNGE WANAYAPOROMOSHA MJENGONI


JOSEPH MBILINYI:
"Mambo mengi ya nchi hii hayaendi kutokana na SERIKALI PUMBAVU....

Hatuwezi kuwa na WAZIRI WA ELIMU BOYA mwenye elimu ya kuunga unga halafu tufanye vizuri katika sekta ya elimu , haiwezekani."

LIVINGSTONE LUSINDE:
"Siwezi kuikubali taarifa hiyo.Nadhani huyu mtu bado amechanganyikiwa na uchaguzi wa kenya.Mimi sijaitaja Chadema bali nimesema kuna chama kimoja cha siasa,SIJUI YEYE ANAWASHWA NINI..!!

JUMA NKAMIA:
Sugu naomba unyamaze.Mimi ndiye nazungumza.Mimi siongei na mbwa,naongea na mwenye mbwa
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top