Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

UTABIRI WA HALI YA HEWA JUMANNE APRIL 16 HUU HAPA



WIZARA YA UCHUKUZI
MAMLAKA YA HALI YA HEWA.
S.L.P.3056, DAR-ES-SALAAM
TELEFAX-2460772.
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA12 ZIJAZO KUANZIA ASUBUHI YA LEO.
TAREHE 16/04/2013.
[Mikoa ya Kagera, Mara, Mwanza na Shinyanga]:
[Mikoa ya Kilimanjaro, Arusha na Manyara]:
[Mikoa ya Kigoma, na Tabora]:


Hali ya mawingu, mvua na ngurumo katika
baadhi ya maeneo na vipindi vifupi vya jua

[Mikoa ya Dodoma na Singida ]:
[Mikoa ya Dar es Salaam, Pwani na Tanga]:
[Visiwa vya Unguja na Pemba]:
[Mikoa ya Mbeya, Rukwa na Iringa]:
[Mkoa wa Morogoro]

Hali ya mawingu kiasi, mvua katika maeneo machache na vipindi vya jua.
[Mikoa ya Lindi na Mtwara]:
[Mkoa wa Ruvuma]

Hali ya mawingu kiasi na vipindi vya jua.

VIWANGO VYA JOTO, MAWIO NA MACHWEO YA JUA KWA BAADHI YA MIJI HAPA NCHINI:
MJI
Kiwango cha juu cha joto
Machweo (Saa)
ARUSHA
26°C
1836
D'SALAAM
31°C
1823
DODOMA
29°C
1837
KIGOMA
28°C
1902
MBEYA
26°C
1845
MWANZA
28°C
1850
TABORA
28°C
1850
TANGA
32°C
1825
ZANZIBAR
30°C
1823
PEMBA
31°C
1825
MOROGORO
31°C
1832

Upepo wa Pwani: Unatarajiwa kuvuma kutoka Kusini Mashariki kwa kasi yakm 30 kwa saa kwa Pwani yote

Hali ya bahari:Inatarajiwa kuwa na mawimbi makubwa kiasi..

Matazamio kwa usiku wa leo Jumanne 16/04/2013: Mabadiliko kidogo.

Utabiri huu umetolewa leo tarehe 16/04/2013.


Na: MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top