Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Binti wa miaka 18 anusurika kuuawa na Simba baada ya kumbusu mnyama huyo.

 

lionpa
 Binti mmoja nchini Afrika Kusini amenusurika kifo baada ya kumbusu simba anayefugwa aliyekuwa amefungiwa katika banda lake katika hifadhi ya wanyamapori nchini humo.
Kijana huyo Lauren Fagen kutoka Montreal amepata majeraha kadhaa mwilini kwake wakati Simba huyo dume alipovuta miguu yake ndani ya banda hilo katika kituo cha Moholoholo Wildlife Rehabilitation.
lauren-fagen-via-BEELD-lion-attack-sa-square-001
Lauren Fagen akiwa Hospitalini akiuguza majeraha baada ya kujeruhiwa na Simba huyo.
Binti huyo mwenye umri wa miaka 18 anayefanya kazi za kujitolea anaye endelea na matibabu katika hospitali amesema ni bahati kubwa kwake kuwa hai.
Fagen alianza kazi za kujitolea katika kituo cha wanyamapori mwezi Juni mwaka huu akifanya usafi katika mabanda ya simba na kuwalisha wanyama wengine.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top