Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

JIONEE TAMASHA LA MATUMAINI HATUA KWA HATUA LILIVYOTIKISA UWANJA WA TAIFA .... RAIS KIKWETE, WABUNGE WAWA VIVUTIO

 



Muziki wa Injili ulitawala. Hapa Solomon Mukubwa akitumbuiza
MC wa Tamasha la Matumaini Godwin Gondwe a.k.a Double G akiwa kazini
Bango lajieleza
Uzalendo kwanza
Nnape Nnauye akiwa na wadau
JK akitete jambo na Eric Shigongo, mwandaaji wa Tamasha la Matumaini
Wagunge wapenzi wa Simba wakipiga jalamba
Profesa Maji Marefu akiongoza wabunge wapenzi wa Simba
Wabunge wapenzi wa Simba
Mwigulu Mchemba na skafu yake akiwa na wabunge wapenzi wa Yanga
Halima Mdee (kati mbele, bukta nyeusi) akiongoza kikosi cha wabunge wapenzi wa Yanga
Kikosi kazi cha wabunge wapenzi wa Yanga
Da' Asha Baraka akiwa na Mwenyekiti wa Baraza la Michezo (BMT) Dionis Malinzi
Mwandaaji wa Tamasha la Matumaini akisema machache
Millard Ayo wa Clouds FM akirusha vitu live
Wapiganaji wakila mzigo
Wapiganaji kazini
Wapiganaji wakishuhudia
Wapiganaji wakirekodi matukio
JK akifungua rasmi Tamasha la Matumaini
JK akiwaasa Watanzania wasidanganyike na watu wanaotaka kuwatenganisha
Hatudanganyiki....
JK akilisifia Tamasha la Matumaini kuwa ni moja ya majibu ya wanaotaka kutenganisha Watanzania kwa misingi ya kikabila ama kidini
JK akijiandaa kupiga filimbi kuanzisha mechi ya wabunge wpenzi wa Yanga na Simba
JK akiwa refarii akihesabu wachezaji kabla ya kuanzisha mechi
JK akiaga baada ya kuanzisha mpambano huo
JK akikaribishwa na mwandaaji Eric Shigongo. Kati ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara
JK akiingia uwanja wa Taifa akiongozana na Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara na Eric Shigongo
JK akiwa meza kuu
Meza kuu
Mwandaaji wa tamasha Eric Shigongo akiongea machache
JK akimpongeza Eric Shigongo kwa hotuba nzuri
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dkt Fenella Mukangara akimkaribisha JK kutoa hotuba yake
Tamasha la Matumani Oye!
JK akiongea na kadamnasi kwenye tamasha hilo katika hotuba iliyorushwa moja kwa moja na TBC
TUSIDANGANYIKE...
JK akiongea na kadamnasi
"Tamasha hili ni majibu kwa wanaotutakia mabaya Tanzania...."
JK akiongea na kadamnasi
JK akisalimiana na wachezaji wa Bongo Movie
JK akipeana mikono na kipa wa zamani Yanga na Taifa Stars Peter Manyika ambaye sasa ni msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie
Jk akisalimiana na Bongo Movie Stars
JK akisalimiana na Katibu Mkuu wa FAT mstaafu Mwina Kaduguda
JK akisalimiana na kipa (wa kweli) wa Yanga Barthez
JK akiingia uwanjani
Kikosi cha wabunge wapenzi wa Simba
Waamuzi na wabunge wapenzi wa Yanga
JK akilakiwa na refa Othman Kazi
JK akiweka saini katika mpira utaochezewa
JK akiweka saini
JK akitambulishwa waamuzi
JK akikagua wabunge wapenzi wa Yanga
JK akisalimiana na straika mkali wa Yanga kutoka DRC
Hiki kifriji vipi.....
JK akisalimiana na wabunge wa Yanga. Huyu ni Esther Bulaya
JK akisalimiana na mwenyekiti wa kamati ya ufundi wa Yanga
JK akisalimiana na kiongozi-mchezaji wa Yanga
JK akisalimiana na mshambuliaji hatari wa yanga Halima Mdee

JK akisalimiana na nahodha wa Simba Amos Makala
JK akisalimiana na Simba
JK akisalimiana na mchezaji wa kulipwa wa wabunge toka Nzega, Dkt Hamisi Kigwangalla
JK akisalimiana na Profesa Maji Marefu
JK akisalimiana na wachezaji wabunge wa Simba
JK akisalimiana na mshambukliaji hatari wa Simba William Ngeleja
JK akiendelea kusalimia wabunge wana Simba
JK akisalimiana na beki tatu wa wabunge wa Simba Joshua Nassari
Haya waheshimiwa... mchezo mwema...
Nyimbo ya Taifa ikipigwa, kila mtu mguu sawa
Wimbo wa Taifa
JK akipungia umati unaomshangilia kwa nguvu
JK akipena mkono na mashabiki
JK akiteta jambo na JB huku Dkt Cheni akiwa pembeni
Mashabiki wakiwa nje ya uwanja
Nyomi ya nje inapita ya ndani
Mshabiki wa Yanga akielekea uwanjani
 
CREDIT: MICHUZI MATUKIO
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top