.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na wageni wake Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakati wa dhifa ya kitaifa
aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Usiku. Kushoto ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed
Shein na Kulia ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha wageni wake Rais Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakati wa dhifa ya kitaifa
aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Usiku. Kushoto ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed
Shein na Kulia ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda
Rais Barack Obama wa Marekani akimshukuru Rais Jakaya Kikwete wakati wa dhifa ya kitaifa
aliyowaandalia Ikulu jijini Dar es salaam Jumatatu Usiku. Kushoto ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed
Shein na Kulia ni Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda.Picha na IKULU
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Barak Obama wa Marekani kwa
Mawaziri wakuu wastaafu pamoja na viongozi wengine wakati wa dhifa ya
kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo Jumatatu usiku Ikulu jijini Dar es salaam, Pichani Akimsalimia Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Rais Barak Obama wa Marekani kwa
Mawaziri wakuu wastaafu pamoja na viongozi wengine wakati wa dhifa ya
kitaifa aliyomwandalia mgeni huyo
Jumatatu usiku Ikulu jijini Dar es salaam. Pichani akimsalimia Waziri
Mkuu Mstaafu na Katibu mkuu mstaafu wa OAU Dr Salim Ahmed Salim
Rais
Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakiangalia ngoma za
utamaduni pamoja na bendi ya polisi wakati wa dhifa ya kitaifa
aliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais Jakaya Mrisho kikwete. Kushoto ni
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali ya Mapinduzi Dkt Ali Mohamed
Shein.
Rais
Barack Obama wa Marekani na mkewe Michelle wakiangalia bendi ya polisi
wakati wa dhifa ya kitaifa aliyoandaliwa na mwenyeji wake Rais Jakaya
Mrisho kikwete. Kushoto ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali ya
Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein
Post a Comment