Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MSAFARA WA ZIARA YA OBAMA WALITIKISA JIJI LA DAR LEO ...... JIONEE KUFURU YA AJABU TOKA KWA RAIS WA DUNIA

 
Msafara wa Rais Barrak Obama Ukiwa Eneo la Mwenge Kuingia Barabara ya Sam Mujoma ukiwa njaini kuelekea Ubungo kukagua mitambo ya kuzalisha umeme ya symbion Leo asubuhi


Msafara uliombeba rais wa Marekani Barrack Obama ukiwa eneo la Ubungo kwenye makutano ya barabara ya Moarogoro na Sam Mujoma leo asubuhi

Rais wa Marekani Akiwa anaingia eneo la tanesco Ubungo leo asubuhi ikiwa ni muendelezo wa ziara yake ya siku mbili  aliyoianza Jana hapa Nchini
Gari la usalama wa Rais wa Marekani.





Msafara wa Rais wa marekani ukiwa eneo la tazara Kuelekea uwanja wa ndege tayari kuondoka mara baada ya kumaliza ziara yake hapa nchini leo.Picha na Mwinyi 
Picha na Mwinyi
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top