Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Pinda akutana na mabalozi wateule jijini Dar.

 

IMG_0017
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mabalozi wateule watakaoiwakilisha Tanzani katika mataifa mbalimbali. Kutoka kushoto ni Mbarouk Nasoro Mbarouk (Umoja wa Falme za kiarabu UAE), Modest Jonathan Maro Umoja wa matifa (Geneva) Wilson Masilingi (Uholanzi), Liberata Mulamula (Marekani), Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahman Shimbo (China), Chabaka Kilumanga (Comoro), na Anthony Cheche atakayekwenda Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. (Picha na Ofisi ya waziri Mkuu).
IMG_0038
 Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na mabalozi wateule watakaoiwakilisha Tanzania katika Mataifa mbalimbali. Kutoka kushoto ni Anthony Cheche (DRC), Chabaka  kilumanga (Comoro), Luteni Jenerali Mstaafu, Abdulrahman Shimbo, (China), Liberata mulamula (Marekani). , Wilson Masilingi (uholanzi), Mbarouk Nasoro Mbarouk (UAE) na Modest Maro ,(Umoja wa Mataifa – Geneva. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top