Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MABARAZA YA KATIBA HALMASHAURI YA WILAYA YA KIBAHA MKOANI PWANI YAFUNGULIWA

 


1.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Prof. Palamaga mbaKabudi (wapili kulia|) akizungumza na Viongozi wa Mkoa wa Pwani leo Ijumaa (Agosti 2. 2013) wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha Mhe. Halima Kiemba (kushoto), Katibu Tawala wa Mkoa, Bi. Bertha Swai (wa pili kushoto). Wajumbe wa Tume walifika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kupokea taarifa za maandalizi ya Mikutano ya Mabaraza ya Katiba katika Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha mkoani humo, kulia ni Mjumbe wa Tume, Mhe. Al-shaymaa Kwegyir.
2.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba ya Katiba, Profesa Palamaga mbaKabudi akizungumza na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani wakati wa ufunguzi wa mkutano huo uliofanyika leo (Ijumaa Agosti 2, 2013) katika ukumbi wa Shule ya Sekondari ya Kilangalanga iliyopo Wilaya ni humo
3.
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Kibaha Mkoani Pwani, Bi. Fediria Swai akichangia hoja kuhusu Rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya katiba katika mkutano uliofanyika leo (Ijumaa Agosti 3, 2013) katika ukumbi wa Shule ya Sekondari Kilangalanga iliyopo Wilayani humo.
6.
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Profesa Palamaga mbaKabudi (kushoto), Al- Shaymaa Kwegyir (katikati) wakiwa katika picha ya pamoja na Viongozi wa Mkoa wa Pwani wakiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Kibaha, Mhe. Halima Kiemba (wa pili kulia) na Katibu Tawala wa Mkoa huo, Bi. Bertha Swai mara baada ya Wajumbe wa Tume kupokea taarifa ya Maandalizi ya Mikutano ya Mabaraza ya Katiba katika Halmashauri za Wilaya na Miji ya Kibaha.
(PICHA NA TUME YA KATIBA)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top