Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

WAZIRI MAGHEMBE ATEMBELEA MIRADI YA MAJI NEWALA


 Mkuu wa Wilaya ya Newala mkoani Mtwara, Christopher Magala (kulia kwa Waziri) akimpa maelezo juu ya Mashine za kusukuma maji zilizopo katika chanzo cha maji cha Mitema - Mkunya , Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati alipofanya ziara ya kukagua miradi ya maji Wilayani humo hivi karibuni.


 Waziri akitembezwa katika matanki ya kuhifadhia maji.
 Ziara iliendelea
Akiagana na viongozi mbalimbali wilayani baada ya kumaliza ziara.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top