Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe ndani ya Mkutano Mkuu wa Chama cha Conservative Denmark

 


Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe akihutubia mkutano mkuu wa chama cha Conservative Denmark tarehe 27.09.2013, jana alikutana na Mawaziri wawili mmoja ni wa mambo ya nje na yule wa Biashara, alizungumzia mambo mbalimbali kama ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu, kuminya kwa uhuru wa habari na mauaji ya kisiasa yanayoendelea Tanzania akutana na wabunge wa Bunge la Denmark , ambao ni wajumbe wa kamati ya mambo ya nje ya Bunge hilo.Picha na Chadema
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top