Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Taasisi ya Hassan Majaar Trust yachangisha zaidi ya shilingi Milioni 200 ikiwa ni mwendelezo wa kampeni yao ya “Dawati kwa kila mtoto”


HERM0501
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar, akiongea wakati wa hafla ya chakula cha jioni ilioandaliwa na taasisi hiyo kwa ajili ya kuchangisha fedha kufanikisha kampeni ya “Dawati kwa kila mtoto” inayoendeshwa na taasisi hiyo. Kulia ni Mwenyekiti wa Bank M, Bw.Nimrod Mkono(MB) akisikisiliza kwa makini kwenye hafla hiyo ambapo zaidi ya Shilingi Milioni 200 zilichangishwa kwenye hafla hiyo.
HERM0505
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiwatambulisha baadhi ya viongozi wa Taasisi hiyo wakati wa chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununulia Madawati kwa shule za msingi nchini.
HERM0488
Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Maajar, Balozi Mwanaidi Sinare Maajar akiteta jambo na Waziri Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba, Dr. Salim Ahmed Salim pamoja na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani.

HERM0531
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk. Shukuru Kawambwa akifurahi jambo na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Wairoba pamoja na Mwenyekiti wa Taasisi ya Hassan Majaar Trust Balozi Mwanaidi Majaar wakati wa hafla ya chakula cha hisani kwa ajili ya kuchangisha fedha za kampeni ya “Dawati kwa kila mtoto” inayoendeshwa na taasisi hiyo.
HERM0533
Mwenyekiti wa Tume ya Katiba Jaji Joseph Warioba na Dr. Salim Ahmed Salim wakielekea kwenye meza ya chakula.
HERM0529
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Hawa Ghasia (kulia) akibadilishana mawazo na Jaji Mkuu Mstaafu Agustino Ramadhani.
HERM0539
Mwenyekiti wa Taasisi ya HMT Balozi Mwanaidi Maajar akiwa na baadhi ya viongozi wa Serikali kupakua chakula cha jioni kilichoandaliwa na taasisi hiyo.
HERM0516
Baadhi ya wadau waliohudhuria hafla ya hiyo wakibadilishana mawazo.
HERM0546
HERM0560
HERM0561
HERM0566
HERM0569
Mkongwe wa Muziki nchini John Kitime akitoa burudani wakati wa hafla hiyo.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top