Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

KISASI AZINDUA JENGO JIPYA LA GOLOFA LA UVCCM VISIWANI ZANZIBAR.

Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni Thuwaiba Kisasi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa jengo jipya la Umoja wa Vijana Darajani, baada ya ujenzi huo kukamilika nusu ya ujenzi wake kufuatia kuondolewa kwa Makontena yaliyokuwepo hapo awali na kujenga jengo la gorofa likiwa na maduka kwa ajili ya kupangisha wafanyabiashara.
Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni Thuwaiba Kisasi akiondoa kitambaa kuashiria uzinduzi huo. wa jengo jipya la Umoja wa Vijana Darajani, baada ya ujenzi huo kukamilika nusu ya ujenzi wake baada ya kuondowa Makontena na kujenga jengo la gorofa likiwa na maduka kwa ajili ya wafanyabiashara wa eneo hilo.
Naibu Katibu Mkuu wa UVCCM Zanzibar Shaka Hamdu, akimtembeza Mwakilishi wa Jimbo la Fuoni na Naibu Waziri wa Biashara Viwanda na Masoko Thuwaiba Kisasa baada ya juzindua jengo hilo jipya la maduka darajani.  




 
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top