Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

AJALI MBAYA YATOKEA IRINGA USIKU WA KUAMKIA LEO




 TAXI  inayoegeshwa  eneo la Posta  mjini Iringa  imegongwa  vibaya  eneo la Idara ya maji mjini Iringa usiku huu na  watu kadhaa kunusurika  kifo  ajali  hiyo  imetokea  mida  ya saa 2.30 usiku huu hakuna aliyepoteza maisha  zaidi ya mfanyakazi wa kituo cha mafuta cha Gapco mshindo kujeruhiwa 


Hili ndilo gari lililosababisha ajali katika barabara kuu ya Iringa - Dodoma 



CHANZO: FRANCIS GODWIN
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright 2025 EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG | Designed By Code Nirvana