Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Breaking newsss .... Mbunge wa Chalinze Said Bwanamdogo yu hoi Muhimbili

 

  Habari zisizo njema kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano ni kwamba mbunge wa Chalinze Mh. Said Bwanamdogo anaumwa hoi mahututi akiwa amelazwa katika chumba maalumu kwa wagonjwa wanaopewa uangalizi maalum (ICU) MOI.

Chanzo cha habari hizi kiliwashuhudia baadhi ya wabunge wa mkoa wa pwani wakiwa pale MOI kumjulia hali mwenzao. Wabunge walioonekana maeneo hayo ni pamoja na Dr Seif Rashid Rufiji na naibu waziri wa afya pamoja na Mh Koka mbunge wa Kibaha mjini.

Duru za uhakika zinaeleza kuwa Mh Bwanamdogo amekuwa mgonjwa kwa kipindi kirefu na juhudi za kupelekwa nje ya nchi kwa matibabu bado hazikuzaa matunda mpaka kufikia uamuzi wa kumrudisha nchini.

Tumwombee mbunge wetu apate nafuu. Amen.
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top