Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

HALI ILIVYOKUWA MAHAKAMANI KWENYE KESI YA ZITTO KABWE NA CHADEMA LEO HII .... TAZAMA HALI ILIVYOKUWA KUANZIA MWANZO HADI MWISHO ... HALI ILIKUWA TETE



Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini, Zitto Z. Kabwe pamoja na Mwanasheria wake,Albert Msando (kulia) wakiwasili katika Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam leo huku wakiongozana na wafuasi wanaopinga kuvuliwa uongozi wake,tayari kwa kwenda kusikiliza kesi yake aliyoifungua dhidi ya Chama Chake cha CHADEMA inayosikilizwa leo Mahakama Kuu.

Polisi wakiwadhibiti wafuasi wa Zitto na wale wanaompinga nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar kabla ya hukumu kutolewa.

Wafuasi wa Zitto wakiwa na mabango.

Wanaompinga Zitto wakiwa na mabango yao nje ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.




Polisi wakituliza vurugu nje ya Mahakama Kuu leo.

Ulinzi ukiwa umeimarishwa katika mlango wa kuingia Mahakama Kuu leo.

Ulinzi mkali nje ya Viwanja vya Mahakama Kuu.

(PICHA NA MAKONGORO OGING' / GPL)

                GPL
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top