Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

Maalim Seif ndani ya Capital TV

 

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, amefanya mazungumzo maalum na kituo cha Televisheni cha "Capital TV' cha Dar es Salaam.
Katika mazungumzo hayo waligusia masuala kadhaa yakiwemo hali ya siasa Tanzania, Demokrasia, Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar na Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Kipindi Maalum kwa ajili ya mazungumzo hayo kitarushwa na kituo hicho tarehe 27/01/2014 kuanzia saa 2.45 usiku. Pamoja naye ni mtayarishaji wa vipindi wa "Capital TV" Frank Morandi. (picha na Salmin Said, OMKR)
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top