Featured
    KWA HABARI NA MATANGAZO EMAIL : pbuyegu2@gmail.com ... Get a superior results by advertising with us by E- Mail us pbuyegu2@gmail.com We will bring Your Business to Light

    Featured Posts

Loading...

MAHAFALI YA TANO YA CHUO CHA UFUNDI ARUSHA YAFANA

 


Mgeni Rasmi, Naibu Waziri wa Elimu, Mh. Philipo Mulugo akihutubia wahitimu na wageni waalikwa kwenye Mahafali ya Tano ya Chuo cha Ufundi Arusha (ATC).
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Ufundi Arusha, Bw. Abraham Nyanda akitoa Hotuba wakati wa Mahafali.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi, Eng. Dkt. Richard Masika akitoa Hotuba wakati wa Mahafali ya Tano ya Chuo.
Wafunzi bora Kumi (10) wakiwa wameshikilia Mfano wa Hundi ya Sh. Mil 10 wakiwa katika picha ya Pamoja na Mgeni Rasmi Naibu waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Mh. Philipo Mulugo pamoja na baadhi ya Wageni Waalikwa. Fedha hizi ni Ahadi ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Peter Pinda (MB) kwenye mahali ya Nne na Tano.
Kwa hisani ya Michuzi Blog
Download Our App

Post a Comment

CodeNirvana

BLOG RAFIKI

© Copyright EMMANUEL SHILATU - BREAKING NEWS BLOG
Back To Top