Alhamisi
ya leo Daraja la Mto Kanoni linalounganisha Manispaa ya Bukoba na Wilaya
nyingine na pia likitumika kama njia kuu ya kwenda Nchi jirani
limezinduliwa leo na Mkuu wa Mkoa wa Kagera kanali mstaafu FABIAN
MASSAWE.
Daraja hili lilikuwa kwenye ukarabati takriabni miezi nane sasa
ambapo watumiaji wa vyombo vya moto walikuwa wakilazimika kupitia kwenye
Barabara ya muda ya Nyakanyasi, Migera au Kashura kuingia katika
Manispaa ya Bukoba.
Limekamilika sasa. Pongezi kwa Tanroads Kagera na karibu Bukoba.
Mkuu wa mkoa wa KAGERA (kulia), Kanali mstaafu FABIAN MASSAWE amezindua Daraja la Kanoni hii leo Asubuhi.
Pongezi kwa Tanroads Kagera na karibu Bukoba.
Post a Comment